Tue, 24 Aug 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais Samia, tayari amwesili nchini Zambia kwa ajili ya kuhudhuria kuapishwa kwa Rais Mteule Hakainde Hichilema.
Rais Samia, amepokelewa na Viongozi mbalimbali wa serikali nchini humo katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Keneth Kaunda,tayari kwa kuhudhuria shughuli ya uapishwaji.
Mapema hii leo Rais Samia aliondoka nchini na kuagana na baadhi ya viogozi wa Serikali katika uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam.
Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ni miongoini mwa viongozi watakao hudhuria shughuli hiyo ya kuapishwa kwa Rais Mteule nchini humo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live