Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Rais Magufuli ahuzunishwa na kifo cha Rais wa zamani wa Ghana

C27dd9c7359cfb4aeb488caf32c824ae Rais Magufuli ahuzunishwa na kifo cha Rais wa zamani wa Ghana

Fri, 13 Nov 2020 Chanzo: millardayo.com

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli ameonesha kuhuzunishwa na kifo cha aliyekuwa Rais wa Ghana Jerry John Rawling.

kupitia ukurasawa wake wa twitter Rais Magufuli ameandika “Nimehuzunishwa na taarifa za kifo cha Rais wa zamani wa Ghana Jerry John Rawlings, salamu zangu za rambirambi kwa Rais wa Ghana Nana Akufo- Addo na Watu wote wa Ghana kwa kumpoteza Jerry Mwamba wa Afrika, apumzike kwa Amani, Amen”.

Kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini Ghana Rais huyo amefariki kutokana na ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona.

Jerry Rawlings alizaliwa Juni 22, June, 1947 ameaga dunia katika Hospitali ya Korle Bu Teaching, alikokuwa akipatiwa matibabu.

HATARI, WANAFUKUA MAITI KABURINI, KUWABADILISHA NGUO, KUVUTISHA SIGARA, “MAPENZI HAYAISHI”

Chanzo: millardayo.com