Sat, 20 Mar 2021
Chanzo: millardayo.com
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amewasili Ubalozi wa Tanzania Nairobi, Kenya nakusaini kitabu cha maombolezo cha Hayati Rais Dk John Magufuli.
Rais Uhuru Kenyatta alipokewa na Balozi wa Tanzania Nchini Kenya John Stephen Simbachawene na watumishi wengine wa Ubalozi.
DIAMOND PLATNUMZ KAFUNGUKA “MAGUFULI ALINIULIZA SIRI JUU YA BABA YANGU, NIMELELEWA NA MAMA”
Chanzo: millardayo.com