Sat, 23 Apr 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Tunisia, Kais Saied ameendeleza nia yake ya kujiimarishia Mamlaka baada ya kutoa amri ya kubadilisha Wajumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi na kuwaweka watu 7 wapya aliowateua mwenyewe
Tume hiyo ni miongoni mwa Vyombo huru vya mwisho Nchini Tunisia, hivyo hatua hiyo inatazamwa kama uvunjifu wa haki kwa raia.
Maamuzi hayo yameelekeza kubadili wananhama wa Tume hiyo kwa amri ya Rais jambo ambalo linatarajiwa kuchohea zaidi upinzani dhidi ya utawala wake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live