Tue, 11 May 2021
Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke
Seneta Mteule Isaac Mwaura amekipoteza kiti chake miezi michache baada ya kutimuliwa katika chama tawala cha Jubilee.
Kiti chake kilitangazwa kuwa wazi na spika wa bunge la Seneti Ken Lusaka Jumanne, Mei 11, 2021.
Mengi kukujia...
Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke