Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Picha maridadi za binti mrembo wa Rais Uhuru, Ngina

Edbb5b94cbe16cef Picha maridadi za binti mrembo wa Rais Uhuru, Ngina

Sun, 11 Apr 2021 Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke

- Hakuna cha mno kumhusu Ngina Kenyatta ambaye huwa haonekani hadharani na pia hajawahi kuhusishwa na sakata yoyote

- TUKO.co.ke inakuchapishia picha tano maridadi ya mrembo huyo ambazo zinamfanya kama mmoja wa vijana wa kuigwa

Ngina Kenyatta ni mwanamke ambaye anapenda kuishi maisha ya faragha na pia kujiepusha na mitandao ya kijamii

Ni nadra sana Ngina kuonekana hadharani kando na kufanya mambo ya kusaidia jamii ama kuandamana na baba yake katika hafla muhimu.

Hizi hapa picha tano maridadi za mrembo huyo ambazo TUKO.co.ke imekuchagulia.

1. Mtoto wa baba

Endapo unazitazama picha hizo kwa makini, basi utatambua kwamba Ngina huwa anapenda kusimama kando ya baba yake wakiwa nje ama katia picha za familia.

Licha ya kuwa binti yake rais, ni rais kutambua kwamba ni mtoto wa baba.



2. Kipenzi cha wengiWakati anajitokeza hadharani, Ngina huwa amevaa tabasamu na kugusa nyoyo za wengi hususan vijana kila anapokutana na wao.

Licha ya kuwa mtulivu, Ngina ana njia ya kipekee ya kugusa nyoyo za watu kutokana na tabia zake, hadhi ya baba yake na kweli kila mtu angelipenda kuwa rafiki yake.



3. Hukutana na maafisa waku serikaliniNi kawaida kwa yeyote ambaye anaishi nyumba moja na rais kukutana na maafisa wakuu serikalini.

Ngina amekutana na watu wengi wenye ushawishi lakini hajawahi kujigamba.



4. Ana kipawa cha kuzungumza kwa ummaAligonga vichwa vya habari hivi majuzi kwenye mitandao ya kijamii baada ya kutoa hotuba ambayo iliwashtua Wakenya.

Ngina ana kipawa cha kuzungumza kwa umma akiwa na ujarisiri tena ufasaha.



5. Anapenda pichaHajawahi kukataa kupiga picha na watu kila wanapomuomba.

Kila anapopiga picha Ngina huwa mwingi wa furaha na huwa tayari kufurahia muda huo na wenzake.

READ ENGLISH VERSION

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia [email protected] au WhatsaApp: 0732482690.

Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke