Wed, 30 Aug 2023
Chanzo: Bbc
Picha hizi ambazo zimetufikia kutoka kwa shirika la habari la AFP zinawaonyesha wakaazi wa mji mkuu wa Gabon, Libreville, wakiwapigia makofi wanajeshi mitaani baada ya jeshi kutangaza kuchukua madaraka leo asubuhi.
Mwandishi wa Reuters anasema mamia ya watu wamekuwa wakisherehekea katikati mwa jiji.
Chanzo: Bbc