Thu, 31 Aug 2023
Chanzo: Bbc
Takriban watu 63 wamefariki baada ya moto kuzuka katika jengo moja mjini Johannesburg, mamlaka ya Afrika Kusini inasema.
Wengine zaidi ya 40 wamejeruhiwa. Maafisa wa Johannesburg wanasema haijafahamika ni nini kilisababisha moto huo katika jengo la ghorofa tano katikati mwa jiji.
Chanzo: Bbc