Sun, 2 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Muungano wa Azimio la Umoja chini ya Raila Odinga umedai utamuondoa kwenye kiti Rais William Ruto na serikali yake.
Viongozi hao wa Azimio wametoa angalizo dhidi ya serikali ya Kenya wakidai kuwa wameshindwa kukidhi mahitaji ya mwananchi wa kawaida.
Mbunge wa Saboti, Caleb Amisi amesema kuwa ni rahisi sana kumuondoa Ruto madarakani kwa sababu alishinda kwa kura chache katika uchaguzi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live