Sat, 11 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Odinga ametoa tangazo hilo jana katika kongamano la Azimio la Umoja .
"Ninatangaza kwamba ninakubali kujiwasilisha kama mgombeaji Urais,"
“Lazima niongezee hapa kwamba kwa maridhiano haya, siombi chochote na kamwe sitaomba chochote isipokuwa nafasi ya kutumikia,” amesema Odinda.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live