Mon, 11 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mahakama jijini Kinshasa imemuhukumu miaka 20 jela mwandishi wa habari wa Congo, Stanis Bujakera baada ya kukutwa na hatia ya makosa mbalimbali.
Stanis Mwandishi wa gazeti la Jeune Afrique amekutwa na hatia ya ujasusi na kueneza uvumi wa uongo kuhusu kifo cha mpinzani aliyeuawa miezi kadhaa iliyopita.
Mwandishi huyo alikuwa amewekwa kizuizini mjini Kinshasa akisuburi kupelekwa Mahakamani baada ya kukamilika kwa uchunguzi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live