Wed, 16 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kuwait imekeleza mauaji hukumu yake ya kwanza ya kifo katika kipindi cha miaka mitano, kunyongwa watu saba wakiwemo wanawake wawili licha ya maombi ya wanaharakati wa haki za kimataifa kutaka wahurumiwe.
Kulingana na idara ya mashtaka ya umma, waliouawa ni mwanamke kutoka Ethiopia na mwingine kutoka Kuwait, mwanamume wa Syria na Pakistani, na wanaume watatu wa Kuwait.
Kuwait imewanyonga karibu watu 80 tangu miaka ya 1960, wengi wao walikabiliwa na kesi za mauaji au dawa za kulevya.
Shirika la Amnesty International limeitaka nchi hiyo ya Ghuba kushinikizwa isitishe mauaji hayo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live