Thu, 8 Apr 2021
Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke
Mwanahabari wa Shirika la KBC, Betty Mutekhele ameaga dunia.
Betty, ambaye alikuwa mhariri wa video alipigwa risasi na majambazi nyumbani kwake eneo la Ololua, Ngong Jumatano, Aprili 7 usiku.
Mwendazake alikuwa amehudumu katika KBC kwa zaidi ya miaka 12 baada ya kujiunga na shirika hilo la serikali mnamo Februari 2009.
Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke