Thu, 3 Oct 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msimamizi wa Kituo cha Malezi na Uangalizi wa Watoto (DayCare), Teresia Wambui ameshikiliwa kwa siku 21 akichunguzwa Afya Ya Akili baada ya kufikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kuwatumia Watoto wadogo kutengeneza Video za ngono
Alipofikishwa Mahakamani Oktoba 1, 2024, Mahakama iliambiwa kuwa alijaribu kuvunja simu yake ili kuharibu ushahidi, lakini alinyang’anywa na simu hiyo iliwasilishwa Mahakamani kwaajili ya uchunguzi
Aidha, Watoto waliokuwa katika kituo hicho wamerudishwa kwa Wazazi wao huku wakiendelea kufanyiwa uchunguzi wa kimatibabu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live