Tue, 21 Feb 2023
Chanzo: Bbc
Askari watatu wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wameuawa na wengine watano kujeruhiwa vibaya na kilipuzi cha kutengenezea (IED) nchini Mali.
Askari watatu wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wameuawa na wengine watano kujeruhiwa vibaya na kilipuzi cha kutengenezea (IED) nchini Mali. Katika chapisho kwenye mtandao wa kijamii, ujumbe wa Umoja wa Mataifa ulisema moja ya msafara wake ulilengwa.
Chanzo: Bbc