Evelyn, Mke wa Mwanzilishi wa Kanisa la Sinagogi, Nabii Temitope Balogun Joshua, maarufu kwa jina la T.B. Joshua, ametoa maelezo ya jinsi mumewe alivyofariki.
Evelyn, Mke wa Mwanzilishi wa Kanisa la Sinagogi, Nabii Temitope Balogun Joshua, maarufu kwa jina la T.B. Joshua, ametoa maelezo ya jinsi mumewe alivyofariki. Evelyn Joshua amezungumza na waandishi wa habari wachache walioteuliwa siku ya Jumapili. Amesema mumewe alitumia kama masaa matatu katika maombi kabla ya ibada ya mwisho Mlimani na alikuwa anaonekana mzima sana, akaongeza kuwa hakuonyesha dalili yoyote ya ugonjwa au wasiwasi.