Wed, 5 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mjumbe maalum wa Marekani katika Pembe ya Afrika, Jeffrey Feltman, atasafiri hadi Ethiopia wiki hii ili kufanya mazungumzo na mamlaka kuhusu vita vya wenyewe kwa wenyewe vinavyoendelea.
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilisema kuwa Bw Feltman "alikuwa ajadiliane na maafisa wakuu kuhusu matarajio ya kupatikana kwa amani mpakani".
Katika siku za hivi karibuni waasi wamerejea katika ngome yao katika jimbo la Tigray kaskazini mwa Ethiopia.
Serikali ya Ethiopia ilisema wanajeshi wake hawatawafuata waasi katika eneo hilo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live