Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mjumbe maalum wa Marekani kuzuru Ethiopia wiki hii

Ethiopia Ujumbe Mjumbe maalum wa Marekani kuzuru Ethiopia wiki hii

Wed, 5 Jan 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mjumbe maalum wa Marekani katika Pembe ya Afrika, Jeffrey Feltman, atasafiri hadi Ethiopia wiki hii ili kufanya mazungumzo na mamlaka kuhusu vita vya wenyewe kwa wenyewe vinavyoendelea.

Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilisema kuwa Bw Feltman "alikuwa ajadiliane na maafisa wakuu kuhusu matarajio ya kupatikana kwa amani mpakani".

Katika siku za hivi karibuni waasi wamerejea katika ngome yao katika jimbo la Tigray kaskazini mwa Ethiopia.

Serikali ya Ethiopia ilisema wanajeshi wake hawatawafuata waasi katika eneo hilo.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live