Mon, 26 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa Gavana wa Nairobi Mike Sonko sasa anadai kuwa amezuiwa kumsaidia Baby Sagini.
Baby Sagini alijulikana nchini kote baada ya kupatikana kwenye shamba la mahindi akiwa ameteswa na macho yake kung’olewa.
Sonko anasema kuwa licha ya juhudi za kutaka kusaidia, hajafanikiwa kumfikia mtoto huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live