Mon, 27 Jun 2022
Chanzo: BBC
Zaidi ya miili 100 imepatikana chini ya vifusi vya jengo la makazi huko Mariupol, mshauri wa meya huyo anasema.
Petro Andryuschenko anasema katika chapisho kwenye Telegram hakuna mipango ya vikosi vya Urusi kutafuta na kuzika miili baada ya makazi kukumbwa na shambulio la anga.
Mji wa bandari ulitekwa na Warusi mwezi uliopita, baada ya kuharibiwa kwa makombora kwa wiki kadhaa.
Chanzo: BBC