Wed, 9 Oct 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Marekani imemkamata raia wa Afghanistan anayeishi nchini humo, Nasir Ahmad Tawhedi (27) kwa kupanga shambulizi siku ya uchaguzi huku akihusishwa na kundi la Islamic State.
Marekani imemkamata raia wa Afghanistan anayeishi nchini humo, Nasir Ahmad Tawhedi (27) kwa kupanga shambulizi siku ya uchaguzi huku akihusishwa na kundi la Islamic State. Mkurugenzi wa FBI, Christopher Wray amesema mtuhumiwa huyo alikuwa akijaribu kuhifadhi silaha, kuuza mali za familia yake na kuwahamisha nje ya nchi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live