Fri, 16 Jul 2021
Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke
Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang'i ametangaza Julai 20, 2021 kuwa siku ya mapumziko ya kuadhimisha siku kuu ya Idd-Ul-Adha.
Kulingana na notisi yake kwa gazeti la taifa, Waziri Matiang'i alisema," Taifa limefahamishwa kwamba siku ya Jumanne Julai 20, 2021 itakuwa ya mapumziko ili kuadhimisha siku kuu ya Idd-Ul-Adh.:
.
Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke