Wed, 3 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ubalozi wa Marekani mjini Addis Ababa umesema kutokana na hali ya kiusalama ya nchi hiyo kuzorota kwa kiasi kikubwa , ubalozi unashauri raia wake kufikiria kuanza kujiandaa kuondoka katika nchi hiyo".
Katika taarifa ambayo ameiandika kwenye kurasa ya Facebook ya ubalozi imetoa onyo kwa watu kusafiri kwenda Addis Ababa.
Wakati huo huo , katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, wito kutaka hatua haraka zichukuliwe kuzuia ghasia kwa kuwa athari inayoweza kutokea Ethiopia itahatarisha eneo kubwa”.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live