Fri, 8 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jeshi la Uganda limesema tweets za Meja Jenerali Muhoozi Kainerugaba (Mtoto wa Rais Museveni) kuunga mkono waasi wa TPLF nchini Ethiopia ni maoni yake binafsi na sio msimamo wa serikali ya Uganda.
Jeshi la Uganda limesema tweets za Meja Jenerali Muhoozi Kainerugaba (Mtoto wa Rais Museveni) kuunga mkono waasi wa TPLF nchini Ethiopia ni maoni yake binafsi na sio msimamo wa serikali ya Uganda. Jenerali Muhoozi alituma taarifa za kuunga mkono waasi wa Tigray kupitia Twitter na kuishutumu serikali ya Ethiopia kwa ukiukaji wa haki za binadamu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live