Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mane akutwa na corona

Skysports Sadio Mane Liverpool 5116352 660x400 Mane akutwa na corona

Sat, 3 Oct 2020 Chanzo: millardayo.com

Mshambuliaji wa Liverpool, Sadio Mane amekutwa na maambukizi ya virusi vya corona na tayari amejitenga dhidi ya wachezaji wenzake.

Taarifa hizo zinajiri baada ya siku tatu zilizopita, kiungo mpya wa timu hiyo Thiago Alcantara kukutwa na maambukizi ya virusi hivyo.

Taarifa iliyotolewa kupitia Tovuti ya klabu hiyo inaeleza “Kama ilivyo kwa Thiago tutaendelea kufuata miongozo yote, Mane atajitenga kwa kipindi cha siku kadhaa kitakachohitajika”

INAHUZUNISHA, CHOZI LA RAIS MAGUFULI BAADA MAMA KUANGUA KILIO AKIFARIJIWA KIFO CHA MWANAE

Chanzo: millardayo.com