Wed, 24 Mar 2021
Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke
Abiri kadhaa waliokuwa kwenye basi wakisafiri kuelekea Mandera wanahofiwa kufariki baada ya gari hilo kugonga vilipulizi barabarani.
Ripoti zilizofikia TUKO.co.ke zinasema basi hilo lilikuwa likitoka eneo la Lafey Jumatano asubuhi kuelekea Mandera wakati kisa hicho kilitokea.
Tayari watu watatu wamedhibitishwa kufariki huku polisi wakisema huenda idadi hiyo ikaongezeka.
Mengi kufuata . . .
Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke