Fri, 20 Aug 2021
Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke
Mahakama ya Rufaa imetupilia mbali maamuzi ya Mahakama ya Juu yaliyotupilia mswada wa BBI.
Majaji saba wa Mahakama ya Rufaa ndio walizima reggae baada ya kukubaliana na Mahakama ya Juu kuwa sheria haikuzingatiwa katika kuanzisha na kuendesha mchakato huo.
Majaji Daniel Musinga na Patrick Kiage walisema tatizo kubwa la BBI ni wajibu aliotekeleza Rais Uhuru Kenyatta.
Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke