Wed, 9 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nigeria imepiga marufuku matumizi ya magari yenye vioo vyeusi (Tinted) kwenye jimbo la Enugu linalopatikana Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo ikiwa ni mpango maalumu wa kukabiliana na matukio ya uhalifu.
Nigeria imepiga marufuku matumizi ya magari yenye vioo vyeusi (Tinted) kwenye jimbo la Enugu linalopatikana Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo ikiwa ni mpango maalumu wa kukabiliana na matukio ya uhalifu. Wamiliki wa magari yenye vioo hivyo wamepewa muda hadi Septemba 08, 2023 ili kupata kibali kutoka kwa polisi na baada ya hapo wataanza kukamatwa na kutozwa faini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live