Magaidi hatari wa #AlShabaab waliotoroka katika Gereza la Kamiti, Mohammed Ali Abikar, Joseph Juma Odhiambo na Musharaf Abdallah Washiali almaarufu Shukri almaarufu Alex Shikanda wamekamatwa huko Kitui wakiwa njiani kuelekea nchini Somalia. Kazi za Polisi Jamii.
Magaidi hatari wa #AlShabaab waliotoroka katika Gereza la Kamiti, Mohammed Ali Abikar, Joseph Juma Odhiambo na Musharaf Abdallah Washiali almaarufu Shukri almaarufu Alex Shikanda wamekamatwa huko Kitui wakiwa njiani kuelekea nchini Somalia. Kazi za Polisi Jamii.
The terrorists in Police custody. #ActionCountersTerrorism #FichuaKwaDCI #SeeSomethingSaySomething pic.twitter.com/YPKv6CEC29
— Counter Terrorism Policing KE???????? (@CTP_Kenya) November 18, 2021