Wed, 2 Dec 2020
Chanzo: zanzibar24.co.tz
Mwanadada mmoja wenye asili ya Somalia ambae anaishi nchini Australia, amewashangaza wengi baada ya Kula kiapo cha kujioa yeye mwenyewe.
Mwanadada mmoja wenye asili ya Somalia ambae anaishi nchini Australia, amewashangaza wengi baada ya Kula kiapo cha kujioa yeye mwenyewe. Mwanadada huyo ambae anafahamika kwa Jina la Ayoul Manyok, amesema kuwa amefika uamuzi huo baada ya Kuchoshwa na wanaume ambao wengi amedai hawana mapenzi ya kweli na wamejaa udanganyifu .
Chanzo: zanzibar24.co.tz