Fri, 18 Dec 2020
Chanzo: habarileo.co.tz
Rais Yoweri Museveni wa Uganda ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu amefanya mabadiliko katika jeshi la Uganda (UPDF) na kumrejesha mwanae Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba kuwa Mkuu wa Kikosi cha Ulinzi wa Rais (SFC)
Rais Yoweri Museveni wa Uganda ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu amefanya mabadiliko katika jeshi la Uganda (UPDF) na kumrejesha mwanae Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba kuwa Mkuu wa Kikosi cha Ulinzi wa Rais (SFC) Jenerali Mhoozi amerudishwa kwenye cheo ambacho aliwahi kukitumikia kabla ya kubadilishwa kuwa mshauri wa Rais Museveni katika masuala ya ulinzi.
Chanzo: habarileo.co.tz