Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

MSIBA WA MAGUFULI: Rais Kenyatta ahutubia, atoa siku 7 za maombolezo, bendera nusu mlingoti (+video)

Video Archive
Thu, 18 Mar 2021 Chanzo: millardayo.com

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametangaza siku saba za maomboezo Nchini Kenya kufuatia kifo cha Rais Magufuli na bendera zitapepea nusu mlingoti, Kenyatta ametoa pole pia kwa Mama Janeth na Watanzania wote kwa ujumla.

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametangaza siku saba za maomboezo Nchini Kenya kufuatia kifo cha Rais Magufuli na bendera zitapepea nusu mlingoti, Kenyatta ametoa pole pia kwa Mama Janeth na Watanzania wote kwa ujumla. “Nimempoteza Rafiki, nimempoteza Kiongozi mwenzangu na Kenya tunasimama imara na wenzetu Watanzania kwenye wakati huu mgumu, nimeongea na Mama Samia nimempa pole na kumuhakikishia tunasimama nae pamoja kwenye wakati huu mgumu” ——— Uhuru Kenyatta. 

Chanzo: millardayo.com