Thu, 8 Jul 2021
Chanzo: millardayo.com
Mwili wa Nabii TB Joshua unaagwa muda huu kanisani kwake Lagos nchini Nigeria, ikumbukwe TB Joshua alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 57 mwaka huu juni, 5 nchini humo.
Mwili wa Nabii TB Joshua unaagwa muda huu kanisani kwake Lagos nchini Nigeria, ikumbukwe TB Joshua alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 57 mwaka huu juni, 5 nchini humo.
Chanzo: millardayo.com