Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Live Matokeo ya Uchaguzi Mkuu Kenya, Odinga na Ruto wanachuana vikali

Odinga Ruto Matokeo Matokeo ya Uchaguzi Mkuu Kenya

Tue, 9 Aug 2022 Chanzo: standardmedia.co.ke

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya (IEBC) imeanza kutangaza matokeo ya awali ya nafasi ya urais baada ya kutoka katika vituo vya kupigia kura.

Matokeo hayo yanatokana na Fomu namba 34A kutoka kwenye vituo vya upigaji kura ambayo yameanza kusomwa dakika 30 tu baada ya kufungwa kwa vituo vya kupigia kura kufuatia kukamilika kwa zoezi la upigaji kura lililofungwa saa 11:00 jioni na kuanza kuhesabu kura.

Kwa mujibu wa chombo cha Habari cha The Standard nchini Kenya, kimeripoti kuwa mpaka saa 3:00 usiku, jumla ya fomu 26,579 kati ya fomu 46,229 ambazo ni sawa na asilimia 57.49 ya fomu hizo zilikuwa zimepokelewa na tume hiyo.

Matokeo ya awali urais kutokana na fomu namba 34A ambayo mpaka sasa yameshatangazwa Mgombea Urais kupitia Chama cha Azimio, Raila Odinga anaongoza kwa asilimia 55.96 huku mpinzani wake, William Ruto wa akiwa na silimia 44.04.

Kolowa Ward, Tiaty Constituency, Baringo County

Raila – 051, Ruto – 003, Waihiga – 000, Wajackoyah – 000

Kakamega Women Polling Station

Raila – 002, Ruto – 000, Waihiga – 000, Wajackoyah – 000

Shimo La Tewa Medium Polling Station

Raila – 004, Ruto – 004, Waihiga – 000, Wajackoyah – 000

Shimo La Tewa Women Polling Station,

Raila – 001, Ruto – 002, Waihiga – 000, Wajackoyah – 000

Kilgoris Prison Station

Raila – 004, Ruto – 000, Waihiga – 000, Wajackoyah – 000

Olesintir Primary School Polling Station, Olpusimoru Ward, Narok North Constituency, Narok County

Raila – 047, Ruto – 001, Waihiga – 000, Wajackoyah – 000

Chepotindar Primary School Polling Station, Ribkwo Ward, Tiaty Constituency

Raila – 055, Ruto – 048, Waihiga – 000, Wajackoya – 000

Malindi Women Polling Station

Raila – 000, Ruto – 001, Waihiga – 000, Wajackoya - 000

Malindi Women Polling Station

Raila – 000, Ruto – 001, Waihiga – 000, Wajackoya – 000

Kibos Main Prison (8) Polling Station

Raila – 024, Ruto – 003, Waihiga – 000, Wajackoya – 000

Karuri Primary School Polling Station, Tseikuru Ward, Mwingi North Constituency

Raila – 011, Ruto – 004, Waihiga – 000, Wajackoya – 000

Tingamara A.P Polling Station, Sosian Ward, Laikipia North Constituency, Laikipia County

Raila – 004, Ruto – 001, Waihiga – 000, Wajackoya – 000

Kipomot ECDE Centre Polling Station, Alale Ward, Kacheliba Constituency West Pokot County

Raila – 019, Ruto – 015, Waihiga – 000, Wajackoya – 000

Churum Primary School Polling Station, Kasei Ward, Kacheliba Constituency

Raila – 063, Ruto – 073, Waihiga – 000, Wajackoya – 000

Urum Trading Center Polling Station, Lokiriama/Lorengippi Ward, Loima Constituency, Turkana County

Raila – 009, Ruto – 003, Waihiga – 000, Wajackoya – 000

Kadakaikeny ECD Centre Polling Station, Kang’atotha Ward, Turkana Central Constituency, Turkana County

Raila – 001, Ruto – 012, Waihiga – 000, Wajackoya – 000

Lomelo Primary School Polling Station, Kapedo Ward, Turkana East Constituency

Turkana County

Raila – 009, Ruto – 028, Waihiga – 000, Wajackoya – 000

Nakuja Ekalale Polling Station, Katulu Ward, Turkana South Constituency

Raila – 018, Ruto – 001, Waihiga – 000, Wajackoya – 000

Lokitoliwo Pry School Polling Station, Lokichar Ward, Turkana South Constituency

Raila – 031, Ruto – 004, Waihiga – 000, Wajackoya – 001.

Updates ya matokeo: Saa 5:00 usiku

Raila Odinga - kura 154,449 (50.39%)

William Ruto - kura 150,157 (48.99%)

George Wajackoyah - kura 1,270 (0.41%)

David Waihiga - kura 637 (0.21%)



Update saa 5:30 usiku, Agosti 09, 2022



Updates saa 6:40 usiku, Agosti 10, 2022.

WILLIAM SAMOEI RUTO - 455,119 (48.08%) UDA

RAILA ODINGA - 445,445 (47.06%) AZIMIO

GEORGE LUCHIRI WAJACKOYAH - 4,147 (0.43%) ROOTS

DAVID MWAURE WAIHIGA - 1,760 (0.18%) AGANO.

Updates saa 7:00 usiku, Agosti 10, 2022



Updates saa 1:30 asubuhi, Agosti 10, 2022



Matokeo ya awali ya uchaguzi wa Rais nchini Kenya hadi Agosti 10 saa 2:30 asubuhi;

William Ruto (UDA)- 50.76%

Raila Odinga (AZIMIO)- 48.61%

George Wajackoyah (RPK)- 0.42%

David Waihiga (AGANO)- 0.21%

Updates: Agosti 10, 2022, saa 9:30 mchana

Wakati matokeo ya uchaguzi mkuu nchini Kenya, matokeo ya awali mpaka saa 9:30 mchana yanaonesha Mgombea wa Urais kupitia Azimio la Umoja, Raila Odinga, anaongoza kwa kura 2,082,109 sawa na 50.55% huku Mgombea wa UDA, Naibu Rais William Ruto akiwa na kura 1,979,549 sawa na 48.06%.

Agosti 11, 2022 saa 7:30 mchana

Vituo vilivyohesabiwa ni 46,142/46,229

Raila Odinga 7,015,963 sawa na 50.13%

William Ruto 6,766,843 sawa na 48.35%

Vimebakia vituo 87 pekee kuhesabiwa.

Endelea kufuatilia TanzaniaWeb kwa updates zote za uchaguzi Kenya.

Chanzo: standardmedia.co.ke
Related Articles: