Wed, 13 Sep 2023
Chanzo: Bbc
Zaidi ya miili 5,300 imehesabiwa katika mji uliokumbwa na mafuriko nchini Libya wa Derna kufikia sasa, waziri wa utawala wa mashariki mwa Libya ameliambia shirika la habari la Reuters.
Zaidi ya miili 5,300 imehesabiwa katika mji uliokumbwa na mafuriko nchini Libya wa Derna kufikia sasa, waziri wa utawala wa mashariki mwa Libya ameliambia shirika la habari la Reuters. Hichem Abu Chkiouat, waziri wa usafiri wa anga, anasema idadi ya waliofariki inatarajiwa kuongezeka, na huenda hata kiwa maradufu.
Chanzo: Bbc