Mon, 24 May 2021
Chanzo: ippmedia.com
Hellen Auma maarufu Mama Busia ni mbunge wa viti maalum kutoka wilaya ya Busia,mashariki mwa Uganda katika mpaka wa Uganda na Kenya.
Ana historia ndefu mpaka kuchaguliwa na wananchi kuwa mbunge wa kiti maalum, amehitimu masomo yake katika Chuo Kikuu cha Kyambogo mwaka 2019 na kupata shahada ya kwanza ya Sayansi ya kijamii.
Wakati anasoma katika chuo hicho mjini Kampala alikuwa akifanya biashara ndogo ndogo ya kuweza kumsaidia kukimu mahitaji yake chuoni . Alichoma samaki na kuwauzia wenzake huko chuo
Chanzo: ippmedia.com