Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kuelekea uchaguzi Ethiopia, Upinzani wataka Viongozi wao kuachiwa huru

Screenshot 2020 12 10 At 11.06.08 660x400.png Kuelekea uchaguzi Ethiopia, Upinzani wataka Viongozi wao kuachiwa huru

Thu, 10 Dec 2020 Chanzo: millardayo.com

Chama Kikuu cha Upinzani nchini humo, OFC kimetaka Viongozi wake kuachiwa huru kikisema itakuwa ngumu kujiandaa na Uchaguzi Mkuu bila wao.

OFC pia imetaka Ofisi zake zilizofungwa kufunguliwa na kuwepo uhuru wa kufanya kampeni nchi nzima kabla ya mchakato wa upigaji kura.

Viongozi wakuu wa Chama hicho walikamatwa July mwaka huu kufuatia vurugu zilizotokea baada ya kifo cha Mwanamuziki na Mwanaharakati maarufu, Hachalu Hundessa.

Uchaguzi Mkuu wa Ethiopia ulipangwa kufanyika Agosti lakini uliahirishwa hadi mwakani na tarehe rasmi bado haijatangazwa.

NABII ANAEDAIWA KUMPANGA MUUMIN APIGE KELELE, MLEVI ALIEJIFUNGULIA BAR

Chanzo: millardayo.com