Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kesi ya Mchungaji Ezekiel: Mawakili waishutumu Idara ya upelelezi

Ezekiel932 1536x863.png Muhubiri Ezekiel Odero

Tue, 30 May 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mawakili wanaomwakilisha Muhubiri Ezekiel Odero, wameishtumu idara ya upelelezi kwa madai ya kuchelewesha uchunguzi wao dhidi ya shtuma zinazomkabili mteja wao.

Tangu kuachiliwa kwa dhamana kwa Mhubiri Ezekiel, amekuwa akiripoti ofisi ya upelelezi kila Jumatatu kama livyomrishwa na mahakama kuu ya Shanzu.

Hatua hiyo ni utekelezaji wa masharti ya dhamana, akisubiri uamuzi wa mahakama hiyo kuhusu tuhuma zinazomkabili.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live