Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kenya: matokeo bado ni vuta nikuvute

22.png Kenya: matokeo bado ni vuta nikuvute

Thu, 11 Aug 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mgombea Raila Odinga ameshinda katika Kaunti ya Vihiga, nyumbani kwa Mkuu wa Muungano wa Kenya Kwanza (KKA) Musalia Mudavadi.

Mgombea huyo wa Azimio la Umoja One Kenya alipata kura 143,371 huku William Ruto wa chama cha UDA akiibuka wa pili kwa kura 79,722.

Idadi ya kura inaonyesha Kenya Kwanza ilipata asilimia 35 ya kura zote za urais zilizopigwa katika kaunti hiyo.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live