Tue, 10 Aug 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Watumishi wa Umma Nchini Kenya wametakiwa kupata Chanjo dhidi ya #COVID19 kutokana hali ya janga hilo kuzidikuwa mbaya wasiofanya hivyo watachukuliwa hatua za kinidhamu.
Kutokana na taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Utumishi wa Umma, Joseph Kinyua Wafanyakazi wa Serikali wanapaswa kupata chanjo kufikia Agosti 23 2021
Imeripotiwa kumekuwa na mwitikio mdogo wa chanjo kwa Watumishi wa Umma katika Sekta kadhaa zikiwemo Usalama na Walimu na kwamba hali hiyo imeathiri utoaji wa huduma za Umma
Chanzo: www.tanzaniaweb.live