Wed, 8 May 2024
Chanzo: Bbc
Rais William Ruto ametangaza kuwa shule zitafunguliwa Jumatatu, Mei 13, 2023.
Ruto ametangaza hayo baada ya kupata ushauri kutoka mamlaka ya utabiri wa hali ya hewa.
Wiki iliyopita wakati rais anatoa hotuba yake kwa taifa, alitangaza kuwa shule zimefungwa kwa muda usiojulikana kwasababu ya mvua kubwa inayoendelea kunyesha nchini humo.
Chanzo: Bbc