Rais wa Rwanda, Paul Kagame amesema ongezeko la Makanisa ambayo mengi kati yake yamekuwa yakichukua Fedha za Waumini na kuwatajirisha Viongozi wa Madhehebu, utailazimu Serikali kuanzisha Kodi ya Makusanyo ya Kanisa.
Rais wa Rwanda, Paul Kagame amesema ongezeko la Makanisa ambayo mengi kati yake yamekuwa yakichukua Fedha za Waumini na kuwatajirisha Viongozi wa Madhehebu, utailazimu Serikali kuanzisha Kodi ya Makusanyo ya Kanisa. Kiongozi huyo amesema Makanisa hayo yanayoibuka yamekuwa yakifanya alichokiita unyang’anyi wa hadi Senti za mwisho za Watu Masikini na hivyo kunahitajika udhibiti wa hali hiyo.