Mon, 29 Aug 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Upigaji kura katika uchaguzi mdogo umeanza baada ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kusitisha zoezi hilo Agosti 9 kufuatia mkanganyiko wa vifaa vya kupigia kura
Uchaguzi wa Ugavana unaendelea Mombasa na Kakamega, wa Wabunge katika Majimbo ya Kitui Vijijini, Kacheliba, Pokot Kusini na Rongai na wa Wawakilishi wa Kaunti unaendelea katika kaunti za Embakasi Kusini na Nyaki Magharibi
Hata hivyo licha ya Serikali kutangaza leo Kuwa siku ya Mapumziko ili kurahisisha zoezi hilo, idadi ya waliojitokeza inatajwa kuwa ni ndogo kulinganisha na waliojiandikisha
Chanzo: www.tanzaniaweb.live