Mon, 20 Nov 2023
Chanzo: Mwananchi
Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Kenya, William Ruto leo Jumatatu Novemba 19, 2023 Ikulu jijini Nairobi, Kenya.
Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Kenya, William Ruto leo Jumatatu Novemba 19, 2023 Ikulu jijini Nairobi, Kenya. Kikwete ambaye ni mlezi wa Jukwaa la Vijana wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (YouLead Summit) pamoja na mambo mengine, alifika Ikulu ya Nairobi kumjulisha Rais Ruto juu ya masuala mbalimbali ya Mkutano wa Jukwaa hilo unaotarajiwa kuanza kesho jijini Nairobi.
Chanzo: Mwananchi