Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

ICRC: Watu zaidi ya 44,000 Afrika hawajulikani walipo

Red Cross ICRC Big.png ICRC: Watu zaidi ya 44,000 Afrika hawajulikani walipo

Mon, 30 Aug 2021 Chanzo: JamiiForum

Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) imesema zaidi ya watu 44,000 barani Afrika hawajulikani walipo na asilimia 45 kati yao ni Watoto.

Imeelezwa kuwa, takriban 82% ya watu hao wanatokea Mataifa 7 yanayokabiliwa na mapigano ya silaha. ICRC imesema Nigeria ina zaidi ya nusu ya idadi ya ambao hawajulikani walipo Afrika

Mataifa mengine yenye idadi kubwa ni Ethiopia, Sudan Kusini , Somalia, Libya, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Cameroon.

Chanzo: JamiiForum