Thu, 18 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Watu watano wamefariki dunia baada ya helikopta ya Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) kuanguka na kuwaka moto katika eneo la Sindar magharibi mwa Pokot.
Watu watano wamefariki dunia baada ya helikopta ya Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) kuanguka na kuwaka moto katika eneo la Sindar magharibi mwa Pokot. Taarifa zaidi zinasema watu wengine watatu wamenusurika katika ajali hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live