Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amekubali kuruhusu mtandao wa Twitter kuendelea kutumiwa Nigeria baada ya kuzimwa kwa miezi saba tangu June 04,2021 baada ya Twitter kufuta post ya Rais Buhari kwenye mtandao wake kwa madai ya kukiuka kanuni zake.
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amekubali kuruhusu mtandao wa Twitter kuendelea kutumiwa Nigeria baada ya kuzimwa kwa miezi saba tangu June 04,2021 baada ya Twitter kufuta post ya Rais Buhari kwenye mtandao wake kwa madai ya kukiuka kanuni zake. Twitter itarudi hewani leo usiku January 13,2022 ambapo Serikali ya Nigeria imesema Twitter imekubali kuheshimu sheria, historia na tamaduni za Nigeria.