Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Hali tete! Watu 230 Waambukizwa Ebola

Ebola Case23 Hali tete! Watu 230 Waambukizwa Ebola

Thu, 28 Apr 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Dozi 200 za chanjo ya Ebola zimepelekwa Nchini DR Congo na nyingine zinatarajiwa kupelekwa katika siku zijazo baada ya watu wawili kuripotiwa kufariki kwa ugonjwa huo.

Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa ripoti hiyo baad aya vifo vya watu hao katika Mji wa Mbandaka wenye wakazi zaidi ya milioni moja ambako watu wanaishi karibu na barabara, maji na njia za anga kuelekea katika Mji Mkuu Kinshasa.

Wataalam wa chanjo wapo eneo la tukio wanaendelea kuchanja ambao wameshaambukizwa, takwimu zikidai idadi ya walioambukizwa ni 230.

Huu ni mlipuko wa 14 wa Ebola kwa jumla Nchini DR Congo tangu ilipotokea kwa mara ya kwanza mwaka 1976, pia imetokea mara sita tangu mwaka 2018.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live