Fri, 23 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Burundi Meja Jenerali Evariste Ndayishimiye amesema hakuna nchi ngumu kuongoza kama Burundi akisema kuwa ni bora kuwaongoza Wayahudi wakati wa Yesu.
Rais wa Burundi Meja Jenerali Evariste Ndayishimiye amesema hakuna nchi ngumu kuongoza kama Burundi akisema kuwa ni bora kuwaongoza Wayahudi wakati wa Yesu. Kiongozi huyo wa Burundi ameahidi kuwachukulia hatua wale wote ambao wamekuwa wakihusika katika kudidimiza na kuhujumu Uchumi wa nchi hiyo kwa njia yoyote ile.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live