Sun, 12 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Waziri wa Afya wa Uganda, Jane Ruth amesema Nchi hiyo haitowafungia tena Watu ndani (lockdown) kisa Corona kwasababu lockdown imesababisha Watu kuteseka na uchumi wa Uganda kutikisika.
Ameongeza kusisitiza kuwa ni lazima January mwakani Shule zifunguliwe na shughuli zote zilizofungwa ziendelee kama kawaida.
"Hatutaki lockdown tena Uganda, kuwe na Omicron au kusiwe na hicho kirusi kipya lazima Nchi tuifungue January,2022"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live