Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Gharama ya chakula yapaa hadi 32% Zimbabwe

Maguni Ya Mahindi Gharama ya chakula yapaa hadi 32% Zimbabwe

Mon, 28 Nov 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Gharama ya chakula nchini Zimbabwe inatajwa kuongezeka kwa asilimia 321 katika kipindi cha mwaka mmoja kwa mujibu wa tathmini ya Benki ya Dunia (WB).

Gharama ya chakula nchini Zimbabwe inatajwa kuongezeka kwa asilimia 321 katika kipindi cha mwaka mmoja kwa mujibu wa tathmini ya Benki ya Dunia (WB). Katika tathmini hiyo, nchi zingine ambazo zimeonesha kuwa na mfumko wa bei za vyakula ni pamoja na Lebanon (208%), Venezuela (158%), Turkiye (99%), Argentina (87%), Sri Lanka (86%), Iran (84%), Rwanda (41%), Suriname (40%) na Lao PDR (39%).

Chanzo: www.tanzaniaweb.live